forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
501 B
Markdown
20 lines
501 B
Markdown
# Hivyo hakuna hata mmoja kati ya watu wote aliyeonja chakula
|
|
|
|
Ilieleweka kwa watu kuwa chini ya kiapo cha Sauli hakuna chakula kilichoruhusiwa.
|
|
|
|
# Watu wakaingia msituni
|
|
|
|
Askari wa Wafilisti walikimbilia msituni na askari wa Israeli wakawafuata.
|
|
|
|
# Asali ilitiririka
|
|
|
|
Hii inasisitiza kuwa "kulikuwa na asali nyingi kila mahali"
|
|
|
|
# hakuna aliyeweka mkono wake kinywani
|
|
|
|
"hakuna aliyekula chochote"
|
|
|
|
# watu waliogopa kiapo
|
|
|
|
Watu hawakukiogopa kiapo ila waliogopa adhabu iliyoambatana na kuvunja kiapo.
|