forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
387 B
Markdown
12 lines
387 B
Markdown
# Ili tusife
|
|
|
|
Adhabu ya dhambi ni kifo. Taifa la Israeli liliona Bwana akiharibu mataifa yaliyowanyanyasa. Walikuwa na wasiwasi kuwa wataharibiwa kama mataifa mengine.
|
|
|
|
# Msiogope
|
|
|
|
Watu walifanya maovu na waliogopa kuwa Mungu atawaharibu. "Msiogope kuwa Mungu atakasirika na kuwaharibu kwa sababu ya dhambi hii"
|
|
|
|
# msigeuke na kufuata mambo matupu
|
|
|
|
"msikimbilie kuabudu miungu ya uongo"
|