sw_tn/1sa/12/19.md

12 lines
387 B
Markdown

# Ili tusife
Adhabu ya dhambi ni kifo. Taifa la Israeli liliona Bwana akiharibu mataifa yaliyowanyanyasa. Walikuwa na wasiwasi kuwa wataharibiwa kama mataifa mengine.
# Msiogope
Watu walifanya maovu na waliogopa kuwa Mungu atawaharibu. "Msiogope kuwa Mungu atakasirika na kuwaharibu kwa sababu ya dhambi hii"
# msigeuke na kufuata mambo matupu
"msikimbilie kuabudu miungu ya uongo"