forked from WA-Catalog/sw_tn
583 B
583 B
Taarifa ya jumla:
Watu walipokuwa wakitoa dhabihu za wanyama, walichoma mafuta ya mnyama kwanza kisha walichemsha nyama na kula.
mbaya, kabla
"Walifanya jambo bata zaidi kuliko hapo mwanzo."
Walichoma
"Mtu aliyetoa dhabihu alichukua dhabihu yake akaipeleka kwa kuhani kisha kuhani akaichoma"
Nipe nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani
"Nipe mimi nyama ili nikampe kuhani aichome"
Kuchoma
Kupika juu ya moto
Kuchemsha
Kupika ndani ya maji
Mbichi
Haijapikwa
waliidharau dhabihu ya BWANA
Vijana hawakupenda maelekezo ya Bwana kuhusu dhabihu na hawakujali.