forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
602 B
Markdown
32 lines
602 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Watu walipokuwa wakitoa dhabihu za wanyama, walichoma mafuta ya mnyama kwanza kisha walichemsha nyama na kula.
|
|
|
|
# Hawakumjua Bwana
|
|
|
|
Hawakumsikiliza Bwana au kumtii.
|
|
|
|
# Desturi
|
|
|
|
Desturi ni tendoambalo watu hulifanya mara kwa mara.
|
|
|
|
# sufuria ... birika ... chombo ... chungu
|
|
|
|
Hivi ni vyombo vinavyotumika kupikia chakula.
|
|
|
|
# sufuria
|
|
|
|
Ni chombo kidogo cha chuma kwa ajili ya kuchemshia.
|
|
|
|
# Birika
|
|
|
|
Ni chombo kikubwa kizito cha chuma kwa ajili ya kuchemshia.
|
|
|
|
# chombo
|
|
|
|
Ni chombo kikubwa kizito cha chuma kwa ajili ya kuchemshia.
|
|
|
|
# chungu
|
|
|
|
Ni chombo cha udongo kwa ajili ya kupikia
|