sw_tn/1pe/02/06.md

16 lines
504 B
Markdown

# Andiko linasema hii
"Hivi ndivyo nabii alivyoandika katika Maandiko zamani"
# Tazama
"Ninawaambieni kitu muhimu" au "Sikiliza!' Neno 'tazama' hapa linatuchochea kuzingatia maelezo ya ajabu ambayo ifuatavyo. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kufanya hivyo.
# jiwe la kona, mkuu na aliyechaguliwa na thamani
Maneno "mkuu" na "thamani" yanaelezea thamani ya "jiwe la msingi." AT "jiwe muhimu zaidi la kona, ambalo nimechagua."
# jiwe la kona
Nabii alikuwa akiandika juu ya Masihi, ambaye ni Yesu.