forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
504 B
Markdown
16 lines
504 B
Markdown
# Andiko linasema hii
|
|
|
|
"Hivi ndivyo nabii alivyoandika katika Maandiko zamani"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Ninawaambieni kitu muhimu" au "Sikiliza!' Neno 'tazama' hapa linatuchochea kuzingatia maelezo ya ajabu ambayo ifuatavyo. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kufanya hivyo.
|
|
|
|
# jiwe la kona, mkuu na aliyechaguliwa na thamani
|
|
|
|
Maneno "mkuu" na "thamani" yanaelezea thamani ya "jiwe la msingi." AT "jiwe muhimu zaidi la kona, ambalo nimechagua."
|
|
|
|
# jiwe la kona
|
|
|
|
Nabii alikuwa akiandika juu ya Masihi, ambaye ni Yesu.
|