forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
568 B
Markdown
20 lines
568 B
Markdown
# upendo wa ndugu
|
|
|
|
Huu ni upendo wa kibinadamu kati ya marafiki au jamaa.
|
|
|
|
# Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa dhati kutoka moyoni
|
|
|
|
Pendaneni nyinyi kwa nyinyi kwa undani na kwa dhati
|
|
|
|
# Umezaliwa tena ... kutoka mbegu isiyoharibika
|
|
|
|
Petro ni sawa na uzao wao wa kiroho kwa mbegu ambayo haitakufa kamwe. Wao wataishi kwa milele.
|
|
|
|
# kuharibika
|
|
|
|
"sio kuharibika" au "kudumu"
|
|
|
|
# kupitia maisha ...neno la Mungu
|
|
|
|
Neno lililo hai la Mungu linamaanisha neno la Mungu uwezo wa kubadili maisha ya watu wakati wote kama kama mtu halisi anayehubiri na kufundisha watu kuhusu Mungu.
|