forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
302 B
Markdown
12 lines
302 B
Markdown
# umekombolewa kutoka
|
|
|
|
"Mungu amekukomboa kutoka" au "Mungu amekuokoa kutoka.?
|
|
|
|
# kama wa kondoo
|
|
|
|
Yesu alikufa kama dhabihu ili Mungu atasamehe dhambi za watu.
|
|
|
|
# bila ya ukamilifu na bila doa
|
|
|
|
Petro anaonyesha wazo sawa katika njia mbili tofauti za kusisitiza usafi wa Kristo. AT "bila kutokamilika."
|