umekombolewa kutoka
"Mungu amekukomboa kutoka" au "Mungu amekuokoa kutoka.?
kama wa kondoo
Yesu alikufa kama dhabihu ili Mungu atasamehe dhambi za watu.
bila ya ukamilifu na bila doa
Petro anaonyesha wazo sawa katika njia mbili tofauti za kusisitiza usafi wa Kristo. AT "bila kutokamilika."