sw_tn/1pe/01/03.md

526 B

Bwana wetu Yesu Kristo

Maneno "yetu" na "sisi" yanataja msemaji (Petro) na waumini waliotajwa

Alitupa kuzaliwa upya

Mwandishi anazungumzia kuhusu kuzaliwa kwa kiroho tuliyopewa tu na Yesu. AT "ametufanya tuishi tena."

kwa ujasiri wa urithi

"tunajua kwamba atatufanyia yale aliyoahidi" (UDB)

zimehifadhiwa

"kuokolewa kwa ajili yetu" au "kuhifadhiwa kwa ajili kwetu" (UDB)

haitakuwa na madhara

"hawezi kuumiza na dhambi au 'dhambi haiwezi kuumiza"

katika nyakati za mwisho

"wakati Kristo anarudi duniani"