sw_tn/1ki/22/16.md

379 B

Je, nikutake mara ngapi ili nikuapia ukweli ... kwa jina la BWANA?

"Nimekutaka mara nyingi sana ...katika jina la BWANA."

katika jina la BWANA

"kama mwakilishi wa BWANA"

Ninaiona Israeli

"Ninaliona jeshi lote la Israeli"

kama kondoo wasiokuwa na mchungaji

Wanajeshi wamefananishwa na kondoo wasiokuwa na mtu wa kuwaongoza kwa zababu mchungaji wao, mfalme, ameuawa