sw_tn/1ki/22/13.md

512 B

Tazama sasa

"Sikiliza" au "Uwe msikivu kwa jambo ninalotaka kukuambia"

maneno ya manabii kwa kinywa kimoa wanatabiri mambo mema kwa mfalme

Kirai cha "kwa kinywa kimoja" kinamaanisha kwamba wote wanasema jambo lilelile jema kwa mfalme"

Tafadhli maneno yako yawe kama yao

"yao" inamaanisha "maneno ya manabii." kile unachosema kifanane na kile walichosema"

je, twende

Neno "twe" linamaanisha Ahabu, Yehoshafati, na majaeshi yao lakini si Mikaya.

BWANA ataitoa kwenye mkono wa mfalme

Tazama 22:5