sw_tn/1ki/22/10.md

403 B

akajitengenezea pembe

akatengeneza pembe kwa ajili yake

Kwa hili utawsukuma Washami mpaka watakapoisha

Anachokisema nabii ni kwamba jeshi la Ahabu litashinda kwa nguvu nyingi kama vilr fahari anavyomshambulia mnyama mwingine. "watatakapoisha" ni usemi unaomaanisha kuwa "kuangamiza"

mpaka watakapoisha

"mpaka uwaangamiza"akapo

ameiweka kwenye mkono wa mfalme

"amemruhusu mfalme kuivamia"