sw_tn/1ki/21/08.md

308 B

kwa jina la Ahabu

"na akaweka saini kwa jina la Ahabu"

watu tajiri alioketi nao

"watu tajiri walioketi na Nabothi"

juu mbele ya watu

"katika eneo la heshima miongoni mwa watu"

watoe ushahidi kinyume naye

"waambie hawa watu wamshitaki Nabothi kwa mashitaka ya kwamba amemlaani Mungu na mfalme"