sw_tn/1ki/20/09.md

315 B

matakwa yako haya ya pili

"vitu vile ulivyoomba mara ya pili"

basi miungu inifanye hivyo na zaidi

Tazama 19:1

kama mavumbi ya Samaria yatawatosheleza watu wote wanaonifuata kuchukuc angalau kila mmoja angalau konzi mkononi mwake

Bebi Hadadi anasema kuwa jeshi lake litaangamiza kabisa kila kitu Samaria.