sw_tn/1ki/19/17.md

372 B

Itakuwa hivi

"Kitakachotokea ni"

atakayejaribu kutoroka upanga wa Hazaeli

"ambaye Hazaeli hatamwua kwa upanga"

ntawaacha kwa ajili yangu

Neno "ni" linamaanishsa BWANA. "Nitawaokoa kutoka kwenye kifo"

watu elfu saba

"watu 7000"

ambao magoti yao hayajawahi kupigwa kwa Baali, na ambao midomo yao haijambusu."

"Ambao hawajawahi kumwabudu na kumbusu Baali"