forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
387 B
Markdown
16 lines
387 B
Markdown
# kwenye pango akakaa humo
|
|
|
|
Neno "humo" linamaanisha Mlima Horebu. Pango ni sehemu iliyowazi maaeneo ya milima ambayo hufanya kitu kama chumba cha asili au chumba kilicho chini aridhini.
|
|
|
|
# Neno la BWANA lilimjia likimwambia
|
|
|
|
Tazama 6:11
|
|
|
|
# Unafanya nini hapa Eliya
|
|
|
|
"Hapa si mahali unapotakiwa kuwa, Eliya"
|
|
|
|
# Mimi, pekee yangu, nimebaki
|
|
|
|
Neno "mimi" limerudiwa kwa aji;i ya msisitizo.
|