forked from WA-Catalog/sw_tn
387 B
387 B
kwenye pango akakaa humo
Neno "humo" linamaanisha Mlima Horebu. Pango ni sehemu iliyowazi maaeneo ya milima ambayo hufanya kitu kama chumba cha asili au chumba kilicho chini aridhini.
Neno la BWANA lilimjia likimwambia
Tazama 6:11
Unafanya nini hapa Eliya
"Hapa si mahali unapotakiwa kuwa, Eliya"
Mimi, pekee yangu, nimebaki
Neno "mimi" limerudiwa kwa aji;i ya msisitizo.