sw_tn/1ki/19/09.md

387 B

kwenye pango akakaa humo

Neno "humo" linamaanisha Mlima Horebu. Pango ni sehemu iliyowazi maaeneo ya milima ambayo hufanya kitu kama chumba cha asili au chumba kilicho chini aridhini.

Neno la BWANA lilimjia likimwambia

Tazama 6:11

Unafanya nini hapa Eliya

"Hapa si mahali unapotakiwa kuwa, Eliya"

Mimi, pekee yangu, nimebaki

Neno "mimi" limerudiwa kwa aji;i ya msisitizo.