sw_tn/1ki/18/25.md

311 B

kumwandaa

"mfanyeni tayari kwa sadaka"

ninyi ni wengi

Neno "ninyi" ni la wingi.

Nao wakamchukua yule nfahari

"manabii wa baali wakamchukua yule fahari"

waliyekuwa wamepewa

yule fahari ambaye mtu aliwapa

Lakini hapakuwepo na sauti, wala aliyejibu

"Lakini Baali hakusema wala kufanya chochote"