sw_tn/1ki/18/09.md

553 B

Nimekoseaje ... ili aniue?

"Sijakukosea wewe ... kwa yeye kuniua,"

umtoe mtumishi wako katika mkono wa Ahabu

"umtoe mtumishi wako kwa Ahabu"

mtumishi

Obadia anjiona mwenyewe kuwa ni mtumishi wa Eliya ili kumheshimu Eliya

Kama BWANA Mungu wako aishivyo

Hiki ni kiapo ambacho kilitumika kuonyesha kuwa kile anachosema ni cha kweli.

hakuna taifa wala ufalme ... ambapo bwana wangu hajatuma watu

"bwana wangu ametuma watu kila mahali"

Na sasa wewe

Neno hili limetumika kuonyesha hatari ya kile ambacho Eliya anamwambia Eliya kufanya.