forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
553 B
Markdown
24 lines
553 B
Markdown
|
# Nimekoseaje ... ili aniue?
|
||
|
|
||
|
"Sijakukosea wewe ... kwa yeye kuniua,"
|
||
|
|
||
|
# umtoe mtumishi wako katika mkono wa Ahabu
|
||
|
|
||
|
"umtoe mtumishi wako kwa Ahabu"
|
||
|
|
||
|
# mtumishi
|
||
|
|
||
|
Obadia anjiona mwenyewe kuwa ni mtumishi wa Eliya ili kumheshimu Eliya
|
||
|
|
||
|
# Kama BWANA Mungu wako aishivyo
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kiapo ambacho kilitumika kuonyesha kuwa kile anachosema ni cha kweli.
|
||
|
|
||
|
# hakuna taifa wala ufalme ... ambapo bwana wangu hajatuma watu
|
||
|
|
||
|
"bwana wangu ametuma watu kila mahali"
|
||
|
|
||
|
# Na sasa wewe
|
||
|
|
||
|
Neno hili limetumika kuonyesha hatari ya kile ambacho Eliya anamwambia Eliya kufanya.
|