sw_tn/1ki/15/29.md

289 B

Baasha aliwaua watu wote wa familia ya Yeroboamu. Hakumwaacha hata mmoja wa uzao wa Yeroboamu awe hai

Sentensi hizi mbili zinamaanisha jambo moja vimetumika kwa ajili ya kutia msisitizo.

ukoo wake wote

Neno "wake" linamaanisha Yeroboamu

Ahiyo Mshilo

Ahiya alikuwa anatoka Shilo