sw_tn/1ki/13/01.md

590 B

mtu wa Mungu

Hili jina lingine la nabii. "Nabii"

Alia kinyumem na zile madhabahu

"Alitoa unabii kwa sauti kubwa kinyume na zile madhdabahu"

Ee madhabau, madhabau

Nabii iliziambia zile madhabahu kama vile anamwambia mtu anyeweza kumsikia. Alisema mara mbili ili kusisitiza.

mwana aitwaye Yosia atazaliwa katikafamilia ya Daudi

"mwana wa uzao wa Daudi atakuwa na mwana aitwaye Yosia"

watachoma

Neno "wa" linamaanisha Yosia na watu atakaokuwa nao.

madhabahu zitavunjika, na majivu ylyo juu yatamwagika

"BWANA atazivunja madhabahu na atayasambaza majivu yaliyo juu yake"