forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
590 B
Markdown
24 lines
590 B
Markdown
|
# mtu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hili jina lingine la nabii. "Nabii"
|
||
|
|
||
|
# Alia kinyumem na zile madhabahu
|
||
|
|
||
|
"Alitoa unabii kwa sauti kubwa kinyume na zile madhdabahu"
|
||
|
|
||
|
# Ee madhabau, madhabau
|
||
|
|
||
|
Nabii iliziambia zile madhabahu kama vile anamwambia mtu anyeweza kumsikia. Alisema mara mbili ili kusisitiza.
|
||
|
|
||
|
# mwana aitwaye Yosia atazaliwa katikafamilia ya Daudi
|
||
|
|
||
|
"mwana wa uzao wa Daudi atakuwa na mwana aitwaye Yosia"
|
||
|
|
||
|
# watachoma
|
||
|
|
||
|
Neno "wa" linamaanisha Yosia na watu atakaokuwa nao.
|
||
|
|
||
|
# madhabahu zitavunjika, na majivu ylyo juu yatamwagika
|
||
|
|
||
|
"BWANA atazivunja madhabahu na atayasambaza majivu yaliyo juu yake"
|