sw_tn/1ki/09/06.md

339 B

amri zangu na maagizo yangu

"maagizo" na "amri" yanamaanishakitu kilekile yametumika kusisitiza kuwa BWANA aliamuru.

kuabudu miungu mingine na kusujudu

Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile, na vimeunganiswa kwa ajili ya msisitizo.

niliyoitakasa kwa jina langu

"niliyoitenga kwa ajili yangu"

Nitaitupilia mbali

"Nitaikataa"