sw_tn/1ki/07/36.md

400 B

nayo ilikuwa imezungukwa

Neno "nayo" linamaanisha Makerubi, simba, n a miti ya mitende.

ilikuwa imezungukwa na masongo

Neno "masongo" linamaanisha sura za kusukwa za vipande vya masongo.

Yote yalikuwa yametengenezwa kwa kufanana

"Huramu alitenegeneza makalio yote katika mfumo uleule"

na yalikuwa na vipimo sawa, na sura inayofanana

"makalio yote yalikuwa na vipimo sawa na sura sawa"