forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
473 B
Markdown
16 lines
473 B
Markdown
# urefu wa mita 1.8
|
|
|
|
Huo ni urefu wa kalio moja
|
|
|
|
# Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa mwandishi atayafafanua makalio katika maneno yafuatayo.
|
|
|
|
# na juu ya papi na vipandio kulikuwa na simba, makisai, na makerubi
|
|
|
|
Kulikuwa na vipande vya nakshi katikasura za simba, makisai, na makerubi yaliyokuwa yameunganishwa katika pande za makalio.
|
|
|
|
# masongo ya kazi y a kufuliwa
|
|
|
|
Neno "masongo" linamaanishsa vipande vya shaba vyenye sura ya kusokotwa.
|