sw_tn/1ki/07/27.md

473 B

urefu wa mita 1.8

Huo ni urefu wa kalio moja

Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa

Hii inamaanisha kuwa mwandishi atayafafanua makalio katika maneno yafuatayo.

na juu ya papi na vipandio kulikuwa na simba, makisai, na makerubi

Kulikuwa na vipande vya nakshi katikasura za simba, makisai, na makerubi yaliyokuwa yameunganishwa katika pande za makalio.

masongo ya kazi y a kufuliwa

Neno "masongo" linamaanishsa vipande vya shaba vyenye sura ya kusokotwa.