sw_tn/1ki/07/23.md

514 B

bahari ya kusubu

Hi inamaanisha kalai la shaba ambalo liliweza kubeba maji.

vyuma vya kusubu

Huramu aliyeyusha shaba na kuvitengeneza

mita 2.3 kutoka ukingo hadi ukingo

kutoka ukingo mmoja hadi mwingine

mzingo wake ulikuwa mita 13.7

"mzingo" ni kipimo cha urefu wa mzunguko wa kitu cha dauara.

na vibuyu vilivyoizunguka

Kibuyu ni aina ya mboga yenye ganda gumu na lenye duara ambalo huoteshwa kwenye shamba la mizabibu.

wakati bahari inapokuwa kalibu

"wakati Huramu alipoitengeneza bahari"