forked from WA-Catalog/sw_tn
514 B
514 B
bahari ya kusubu
Hi inamaanisha kalai la shaba ambalo liliweza kubeba maji.
vyuma vya kusubu
Huramu aliyeyusha shaba na kuvitengeneza
mita 2.3 kutoka ukingo hadi ukingo
kutoka ukingo mmoja hadi mwingine
mzingo wake ulikuwa mita 13.7
"mzingo" ni kipimo cha urefu wa mzunguko wa kitu cha dauara.
na vibuyu vilivyoizunguka
Kibuyu ni aina ya mboga yenye ganda gumu na lenye duara ambalo huoteshwa kwenye shamba la mizabibu.
wakati bahari inapokuwa kalibu
"wakati Huramu alipoitengeneza bahari"