forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
514 B
Markdown
24 lines
514 B
Markdown
|
# bahari ya kusubu
|
||
|
|
||
|
Hi inamaanisha kalai la shaba ambalo liliweza kubeba maji.
|
||
|
|
||
|
# vyuma vya kusubu
|
||
|
|
||
|
Huramu aliyeyusha shaba na kuvitengeneza
|
||
|
|
||
|
# mita 2.3 kutoka ukingo hadi ukingo
|
||
|
|
||
|
kutoka ukingo mmoja hadi mwingine
|
||
|
|
||
|
# mzingo wake ulikuwa mita 13.7
|
||
|
|
||
|
"mzingo" ni kipimo cha urefu wa mzunguko wa kitu cha dauara.
|
||
|
|
||
|
# na vibuyu vilivyoizunguka
|
||
|
|
||
|
Kibuyu ni aina ya mboga yenye ganda gumu na lenye duara ambalo huoteshwa kwenye shamba la mizabibu.
|
||
|
|
||
|
# wakati bahari inapokuwa kalibu
|
||
|
|
||
|
"wakati Huramu alipoitengeneza bahari"
|