sw_tn/1ki/02/45.md

285 B

Taarifa kwa ujumla

Mfalme Sulemani anatoamari ya kumwua Shimei

na enzi ya Daudi itaimrika mbele ya BWANA milele

Neno "enzi ya Daudi" linamaanisha mamlaka na utawala wa Daudi na uzao wake wote milele.

Kwa mkono wa Sulemani

matumizi ya "mkono" unawakilisha nguvu ya Sulemani