sw_tn/1ki/02/32.md

579 B

Taarifa kwa ujumla

Mfalme Sulemani anaeleza sababu ya Yoabu kuuawa

BWANA na amrudishie damu yake kichwani mwake

"Neno "mwake" linamaanisha Yoabu. "Damu" linamaanisha hatia.

wasio na hatia na wema kuliko yeye

Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile na yanatia msisitizo kuwa Abineri na Amasa walikuwa wanaume wema kuliko Yoabu.

Yoabu kichwani pake na kwenye kichwa cha uzao wake

Neno "kichwa " linatumika kumaanisha mtu kamili

na nyumba yak,e na kwenye kiti chake cha enzi

Neno "nyumba" na "kiti cha enzi" linamaanisha uzao wa Daudi na utawala wa Daudi."