sw_tn/1ki/02/28.md

259 B

Taarifa kwa ujumla

Mfalme Sulemani anamwagiza Benaya kumwusa Yoabu

Habari hizo zikamfikia Yoabu

"Yaabu akasikia kile ambacho Sulemani alifanya baada ya kuwa mfalme"

pembe za madhabahuni

pembe za madhabahuni zinamaanisha mamlaka ya BWANA na ulinzi.