sw_tn/1ki/02/26.md

344 B

Taarifa kwa ujumla

Abiatahari amefukuzwsa kwenye ukuhani na mfalme Sulemani.

na kujitaabisha kwa namna mbalimbali kama baba yangu alivyopata tabu

Abiathari alijitabisha pamoja na mfalme Daudi kabla Daudi hajawa mfalme.

ili kwamba atimilize

Neno "a" linamwakilisha mfalme Sulemani

alivyokuwa amesema

neno "a" linamwakilisha BWANA