sw_tn/1ki/02/24.md

334 B

Taarifa kwa ujumla

Mfalme Sulemani anamwua Adoniya

na kunipa kiti cha enzi

"Neno "kiti cha enzi" linamaanisha mamlaka ya Sulemani ya muwa mtawala kama alivyokuwa amepewa na BWANA.

ambaye amenifanyia nyumba

Neno "nyumba" linamaanisha uzao ambao Mungu alikuwa amempa mfalme Sulemani, ambao utaendelea kutawala baada ya Yake.