sw_tn/1ki/01/28.md

376 B

Taarifa kwa ujumla

Mfalme Daudi anamwahidi Bathisheba

akaja akasimama mbele ya mfalme

"akaja mbele ya mfalme" au "akarudi kwa mfalme"

akafanya kiapo

"akafanya ahadi "

atakayeketi kwenye kiti changu cha enzi

Tazama 1:13

Bwana wangu mfalme Daudi na aishi milele

Bathisheba alijua kuwa Daudi hataishi milele, hii ni namna ya kusema kuwa Daudi ni mfalme mwema.