forked from WA-Catalog/sw_tn
376 B
376 B
Taarifa kwa ujumla
Mfalme Daudi anamwahidi Bathisheba
akaja akasimama mbele ya mfalme
"akaja mbele ya mfalme" au "akarudi kwa mfalme"
akafanya kiapo
"akafanya ahadi "
atakayeketi kwenye kiti changu cha enzi
Tazama 1:13
Bwana wangu mfalme Daudi na aishi milele
Bathisheba alijua kuwa Daudi hataishi milele, hii ni namna ya kusema kuwa Daudi ni mfalme mwema.