sw_tn/1ki/01/20.md

473 B

Taarifa kwa ujumla

Bathisheba anaendelea kuongea na Daudi

macho yote ya Israeli yako kwako

Neno "macho" liinamaanisha watu. "watu wote wa Israeli wanakutazama wewe"

atakayeketi kwenye kiti cha enzi

Tazama 1:13

wakati bwana wangu atakapolala na baba zake

"utakapolala na baba zako"

atakapolala na baba zake

Hii ni tafsida ya neno "kufa"

Mimi na mwanangu Sulemani kuhesabiwa wahaini

"Mfalme mpya atatuhesabu mimi na mwanangu Sulemani kuwa ni wahaini"