sw_tn/1ki/01/15.md

390 B

chumbani kwa mfalme

"chumba ambacho mfalme alilala"

Abishagi Mshunami

Tazama 1:3

akainama kifudifudi mbele ya mfalme

"akainama kuikaribia sakafu mbele ya mfalme"

una haja gani?

"unataka nikufanyie ini?"

ulimwapia mtumishi wako

Kiwakilishi cha "u" ni kinasisitiza kuwa "wewe mwenyewe uliapa"

mtumishi wako

Tazama 1:3

ataketi kwenye kiti changu cha enzi

Tazama 1:3