forked from WA-Catalog/sw_tn
390 B
390 B
chumbani kwa mfalme
"chumba ambacho mfalme alilala"
Abishagi Mshunami
Tazama 1:3
akainama kifudifudi mbele ya mfalme
"akainama kuikaribia sakafu mbele ya mfalme"
una haja gani?
"unataka nikufanyie ini?"
ulimwapia mtumishi wako
Kiwakilishi cha "u" ni kinasisitiza kuwa "wewe mwenyewe uliapa"
mtumishi wako
Tazama 1:3
ataketi kwenye kiti changu cha enzi
Tazama 1:3