sw_tn/1ki/01/05.md

746 B

Adoniya mwana wa Hagithi

Hagithi alikuwa mke wa Daudi

alijiinua

"alianza kujivuna"

wapanda farasi

Watu wanaoendesha magari yanayovutwa na Farasi

magari na wapanda farasi hamsini ili wapige mbio mbele yake

Hawa watu walienda walitangulia mbele ya magari ili kuwaandalia njia na kuwalinda

alikuwa hajawahi mumsumbua, kwa kusema

"Alikuwa hajawahi kumsumbua. Alikuwa hajawahi hata kumwuliza" au "alikuwa hajawahi hata kutaka kumfanya awe na hasira, kwa hiyo hakuwahi hata kumwuliza"

Kwa nini umefanya hili na lile?

"Unapaswa kutambua kuwa kile ulichokifanya hakiko sawa."

aliyezaliwa baada ya Absalomu

Daudi alikuwa mzazi wa wote Absalomu na Adoniya, lakini walikuwa na mama zao tofauti. Absalomu alizaliwa, kisha Adoniya.