forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
746 B
Markdown
28 lines
746 B
Markdown
|
# Adoniya mwana wa Hagithi
|
||
|
|
||
|
Hagithi alikuwa mke wa Daudi
|
||
|
|
||
|
# alijiinua
|
||
|
|
||
|
"alianza kujivuna"
|
||
|
|
||
|
# wapanda farasi
|
||
|
|
||
|
Watu wanaoendesha magari yanayovutwa na Farasi
|
||
|
|
||
|
# magari na wapanda farasi hamsini ili wapige mbio mbele yake
|
||
|
|
||
|
Hawa watu walienda walitangulia mbele ya magari ili kuwaandalia njia na kuwalinda
|
||
|
|
||
|
# alikuwa hajawahi mumsumbua, kwa kusema
|
||
|
|
||
|
"Alikuwa hajawahi kumsumbua. Alikuwa hajawahi hata kumwuliza" au "alikuwa hajawahi hata kutaka kumfanya awe na hasira, kwa hiyo hakuwahi hata kumwuliza"
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini umefanya hili na lile?
|
||
|
|
||
|
"Unapaswa kutambua kuwa kile ulichokifanya hakiko sawa."
|
||
|
|
||
|
# aliyezaliwa baada ya Absalomu
|
||
|
|
||
|
Daudi alikuwa mzazi wa wote Absalomu na Adoniya, lakini walikuwa na mama zao tofauti. Absalomu alizaliwa, kisha Adoniya.
|