sw_tn/1jn/05/13.md

861 B

Maaelezo ya Jumla

Hii inaanzisha mwisho wa barua ya Yohana. Anawaambia wasomaji wakke kusudi lake la mwisho kwa barua yake na anawapa mafundisho kadha ya mwaisho.

mambo haya

"barua hii"

ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu

Hapa "jina" ni Taashira au Ishara inayomwakilisha Mwana wa Mungu. : "Ninyi mnaotumaini katika Mwana wa Mungu"

Mwana wa Mungu

Hiki nicheo muhimi sana kwa Ysu ambacho uelezea uhusiano wake kwa Mungu.

uzima

Hapa "uzima" husimama badala ya haki ya kuishi milele kwa neema na upendo wa Mungu. Tazama 1:1

Na huu ndio ujasiri tulionao mbele zake, kwamba

"tuna ujasiri mbele za Mungu kwa sababu tunajua, kwamba"

kama tukiomba kitu chochote sawa sawa na mapenzi yake

"Kama tunaomba mambo ambayo Mungu hutamani"

tunajua kwamba tunacho hicho tulichomwomba.

"tunajua kwamba tutapokea ambacho tumemwomba Mungu"