forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
554 B
Markdown
20 lines
554 B
Markdown
# Na ushuhuda ndio huu
|
|
|
|
"Hivi ndivyo Mungu anavyosema"
|
|
|
|
# uzima
|
|
|
|
Hapa "uzima" husimama badala ya haki ya kuishi milele kwa neema na upendo wa Mungu. Tazama 1:1
|
|
|
|
# uzima huu umo ndani ya Mwanawe.
|
|
|
|
uzima huu ni kwa njia ya Mwanawe, "Tutaishi milele kama tutaungana na Mwanawe" au "tutaishi milele kama tutakuwa na muungano na Mwanawe"
|
|
|
|
# Mwana
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
|
|
|
|
# Aliye naye Mwana ana uzima
|
|
|
|
Kuwa katika uhusiano wa karibu na Yesu kunazungumzia ni kama kuwa na Mwana. "Yeye aaminiye katka Mwana wa Mungu anao uzima wa milele"
|