sw_tn/1jn/05/11.md

554 B

Na ushuhuda ndio huu

"Hivi ndivyo Mungu anavyosema"

uzima

Hapa "uzima" husimama badala ya haki ya kuishi milele kwa neema na upendo wa Mungu. Tazama 1:1

uzima huu umo ndani ya Mwanawe.

uzima huu ni kwa njia ya Mwanawe, "Tutaishi milele kama tutaungana na Mwanawe" au "tutaishi milele kama tutakuwa na muungano na Mwanawe"

Mwana

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.

Aliye naye Mwana ana uzima

Kuwa katika uhusiano wa karibu na Yesu kunazungumzia ni kama kuwa na Mwana. "Yeye aaminiye katka Mwana wa Mungu anao uzima wa milele"