sw_tn/1jn/05/09.md

757 B

Kama tunaupokea ushuhuda wa wanadamu ushuhuda wa Mungu ni mkuu

"Kama tunaamini wasemayo watu, basi ni lazima tuamini asemacho Mungu kwa sababu Yeye daima huisema kweli"

tunaupokea ushuhuda wa wanadamu

uhalisia kwamba watu huutoa ushahidi au kushuhudia juu ya mambo mbalimbalia limezungumziwa hapa kana kwamba ni kitu amabacho wengine hukipokea.

ushuhuda wa Mungu ni mkuu

usuhuda wa Mungu ni mkuu na muhimu na wa kutegemewa zaidi

amwaminiye Mwana wa Mungu ana ushuhuda ndani yake m

mtu yeyote anayemwamini Yesu hujua kuwa hakika Yesu ni Mwana wa Mungu"

amemfanya yeye kuwa mwongo,

"anamwita Mungu mwongo"

kwa kuwa hakuuamini ushuhuda ambao Mungu ameuleta kuhusu Mwanawe.

"kwa sababu haamini kwamba Mungu aliseama kweli kuhusu Mwanawe"