forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
757 B
Markdown
24 lines
757 B
Markdown
|
# Kama tunaupokea ushuhuda wa wanadamu ushuhuda wa Mungu ni mkuu
|
||
|
|
||
|
"Kama tunaamini wasemayo watu, basi ni lazima tuamini asemacho Mungu kwa sababu Yeye daima huisema kweli"
|
||
|
|
||
|
# tunaupokea ushuhuda wa wanadamu
|
||
|
|
||
|
uhalisia kwamba watu huutoa ushahidi au kushuhudia juu ya mambo mbalimbalia limezungumziwa hapa kana kwamba ni kitu amabacho wengine hukipokea.
|
||
|
|
||
|
# ushuhuda wa Mungu ni mkuu
|
||
|
|
||
|
usuhuda wa Mungu ni mkuu na muhimu na wa kutegemewa zaidi
|
||
|
|
||
|
# amwaminiye Mwana wa Mungu ana ushuhuda ndani yake m
|
||
|
|
||
|
mtu yeyote anayemwamini Yesu hujua kuwa hakika Yesu ni Mwana wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# amemfanya yeye kuwa mwongo,
|
||
|
|
||
|
"anamwita Mungu mwongo"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa hakuuamini ushuhuda ambao Mungu ameuleta kuhusu Mwanawe.
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu haamini kwamba Mungu aliseama kweli kuhusu Mwanawe"
|