sw_tn/1jn/05/04.md

832 B

kila aliyezaliwa na Mungu

"watoto wote wa Mungu"

huushinda ulimwengu

"wanaushindi juu ya ulimwengu," "hufaulu dhidi ya ulimwengu," au "hukataa kufanya mambo maovu wayafanyayo wasioamini"

Na huu ndio ushindi wa kuushinda ulimwengu: imani yetu

"Imani yetu hupatia nguvu ya kuzuia lolote ambalo lingetutia katika ktenda dhambi dhidi ya Mungu"

Ni nani anayeushinda ulimwengu?

Yohana alitumia swali hili kutambulisha jambo fulani alilotaka kufundisha. "Nitaambia anayeshinda ulimwengu"

ulimwengu

ujumbe huu "ulimwengu? kwa kumaanisha watu wote wenye dhambi na mfumo mwovu wa ulimwengu"

Ni yule aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.

Hili halimaanishi mtu maalum bali kwa yeyote anayeamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.

Mwana wa Mungu

hiki ni cheo muhimu kwa Yesu kinachoelezea uhusiano wake kwa Mungu