sw_tn/1jn/04/04.md

839 B

watoto wapendwa

Yohana alikuwa mzee tena kiongozi wao. Alitumia maelezo haya kuonyesha pendo lake kwao. "watoto wangu wapendwa katika Kristo" au "ninyi mlio kama watoto wangu mwenyewe ninaowapenda." Tazama 2:1lilivyofafanuliwa

mmekwisha washinda

"hamjawaamini waalimu wa uongo"

yeye aliye ndani yenu

"Mungu aliyemo ndani yenu"

yeye aliye katika ulimwengu

Uwezekano wa maana mbili ni 1) "wale waalimu wa kidunia" au 2) "Shetani aliyeko ulimwenguni

ulimwengu

Jina "ulimwengu" humaanisha watu wot wasiomtii Mungu pia humaanisha mfumo uovu ukaao katika ulimwengu wa dhambi

Wao ni wa ulimwengu,

"Wale waalimu wa uongo ni watu wasiomtii Mungu"

kwa hiyo wanachokisema ni cha ulimwengu,

"kwa hiyo hufundisha mawazo yaliyokinye na Mungu"

na ulimwengu huwasikiliza wao.

kwa hiyo watu wasiomtii Mungu huwasikiliza wao"