sw_tn/1jn/03/11.md

453 B

Tuna pasa kupenda.

Hapa, neno "tuna" linalenga waumimini wote.

Ndugu.

Katika tukio hili, neno ndugu linamaanisha mdogo wake na Kaini, Abeli.

Na kwa nini alimuua?Kaw sababu

Yohana anatumia swali kuwafundisha wasikilizaji wake. Hii ingeweza kutafsiriwa kama usemi: "Alimuua kwa sababu."

Kazi zake zilikuwa na uovu, na kazi za ndugu yake zilikuwa za haki.

"Kwa sababu daima alifanya mambo maovu na ndugu yake alikuwa akifanya mambo mazuri."