sw_tn/1jn/02/24.md

1.4 KiB

Sentensi Unganishi

Yohana anawakumbusha waamini kuendelea katika lile walilokisikia hapo kwanza

Maelezo ya Jumla

Hapa neno "ninyi" ni katika wingi nna humaanisha watu ambao Yohana anawaandikia pia na waamin wote.

kile mlilosikia toka mwanzo acha liendelee kuwa ndani yenu.

"Kumbukeni na kuamini lile mlilolisikia tangu mwanzo>" Walilisikiaje, walilolisikia, na mwamwazo humaanisha nini, linaweza kuwekwa wazi. "endeleeni kutumaini tulilowafundisha kuhusu Yesu kama tu vile ambavyo mmetumaini tangu mwe waamini.

Lile mlilolisikia tangu mwanzo

"tulilowafundisha kuhusu Yesu mlipoanza kuwa kuwa waamini"

ikiwa mlilolisikia hukaa ndani yenu

Neno "hukaa" linazungumzia kuhusu uhusiano, siyo wakovu. "ikiwa mtaendelea kutumaini tullowafundisha hapo kwanza"

pia mtakaa ndani ya Mwana na Baba

"pia mwe na uhusiano pamoja na Mwana pamoja na Baba." Tazama maelezo katika 2:4 Uone lilivyofafanuliwa

Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele.

"na hivi ndivyo alivyotuahidi sisi kutupa - uzima wa milele" au " Na ametusababisha kuishi milele.

uzima

Neno "uzima" katika barua nzima humaanisha zaidi ya uzima wa kimwili. Tazama maelezo katika 1:1 uone lilivyofafanuliwa

wangeliwakosesha

"wanaotaka kuwaondoa njiani." Kuna wale ambao wangejaribu kuwaondoeni kwa Mungu na kweli Yake" "wangewasababisha kuamini uongo"

kosesha

Shawishi mtu kutomtii Mungu limezugumziwa kana kwamba linlikuwa likimtoa mtu kwanya njia sahihi ya kufuata