forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.4 KiB
Markdown
40 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Yohana anawakumbusha waamini kuendelea katika lile walilokisikia hapo kwanza
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "ninyi" ni katika wingi nna humaanisha watu ambao Yohana anawaandikia pia na waamin wote.
|
||
|
|
||
|
# kile mlilosikia toka mwanzo acha liendelee kuwa ndani yenu.
|
||
|
|
||
|
"Kumbukeni na kuamini lile mlilolisikia tangu mwanzo>" Walilisikiaje, walilolisikia, na mwamwazo humaanisha nini, linaweza kuwekwa wazi. "endeleeni kutumaini tulilowafundisha kuhusu Yesu kama tu vile ambavyo mmetumaini tangu mwe waamini.
|
||
|
|
||
|
# Lile mlilolisikia tangu mwanzo
|
||
|
|
||
|
"tulilowafundisha kuhusu Yesu mlipoanza kuwa kuwa waamini"
|
||
|
|
||
|
# ikiwa mlilolisikia hukaa ndani yenu
|
||
|
|
||
|
Neno "hukaa" linazungumzia kuhusu uhusiano, siyo wakovu. "ikiwa mtaendelea kutumaini tullowafundisha hapo kwanza"
|
||
|
|
||
|
# pia mtakaa ndani ya Mwana na Baba
|
||
|
|
||
|
"pia mwe na uhusiano pamoja na Mwana pamoja na Baba." Tazama maelezo katika 2:4 Uone lilivyofafanuliwa
|
||
|
|
||
|
# Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele.
|
||
|
|
||
|
"na hivi ndivyo alivyotuahidi sisi kutupa - uzima wa milele" au " Na ametusababisha kuishi milele.
|
||
|
|
||
|
# uzima
|
||
|
|
||
|
Neno "uzima" katika barua nzima humaanisha zaidi ya uzima wa kimwili. Tazama maelezo katika 1:1 uone lilivyofafanuliwa
|
||
|
|
||
|
# wangeliwakosesha
|
||
|
|
||
|
"wanaotaka kuwaondoa njiani." Kuna wale ambao wangejaribu kuwaondoeni kwa Mungu na kweli Yake" "wangewasababisha kuamini uongo"
|
||
|
|
||
|
# kosesha
|
||
|
|
||
|
Shawishi mtu kutomtii Mungu limezugumziwa kana kwamba linlikuwa likimtoa mtu kwanya njia sahihi ya kufuata
|