sw_tn/1jn/01/08.md

880 B

Malezo ya Jumla

Hapa neno "yeye" "lake" humaanisha Mungu.(Tazama 1:5)

hatuna dhambi

"hatutendi dhambi"

twajidanganya

"Twajilaghai wenyewe" au "tunajiambia uongo wenyewe"

kweli haimo ndani yetu

Ile kweli imezungumziwa kana kwamba lilikuwa ni jambo au kitu kambacho kingeweza kuwa ndani ya waamini.

kutusamehe dhambi zetu na kututakasa na uovu wote

Virai hivi viwili kimsingi vinamaanisha jambo lile lile. Yohana anavitumia kusisitiza kwa hakika Mungu atasamehe dhambi dhambi. : "na atazisamehe kabisa kabisa ubaya ambao tumeufanya"

twamfanya yeye kuwa muongo,

tunadai kwamba yeye ni mwongo: "ni sawasawa na kumwita yeye mwongo, kwa sababu amesema sisi sote tumetenda dhambi"

neno lake halimo ndani yetu

Kutii kuheshimu neno la Mungu kumezunguziwa kana kwamba neno lake lilikuwa ndani ya waamini. : "hatulielewi neno la Mungu wala hatutii linachokisema"